Az-Zalzala · 5/8
Tafsiri Uandishi wa sauti — Az-Zalzala
بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا ۝٥
Bi-anna rabbaka awhaa laha
📖 Kwa Kiswahili
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Az-Zalzala

3وَقَالَ الْإِنسَانُ مَا لَهَا
Na mtu akasema: Ina nini?
4يَوْمَئِذٍ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
5بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
6يَوْمَئِذٍ يَصْدُرُ النَّاسُ أَشْتَاتًا لِّيُرَوْا أَعْمَالَهُمْ
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
7فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًا يَرَهُ
Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
Az-ZalzalaFaharasa ya Qurani
8Aya
MadinaRevelation
5Aya

Tafsiri — Az-Zalzala 5

Sura Az-Zalzala Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

Sura Aya 5/8 — Az-Zalzala الزلزلة (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Az-Zalzala Sikiliza, Az-Zalzala Tafsiri, Az-Zalzala mp3, Az-Zalzala pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema