Al-Qari'a · 6/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qari'a
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ  ۝٦
Fa-amma man thaqulat mawa zeenuh
📖 Kwa Kiswahili
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 4-8 — Al-Qari'a

4يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ 
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
5وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ 
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
6فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ 
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
7فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ 
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
8وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ 
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
Al-Qari'aFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Qari'a 6

Sura Aya 6/11 — Al-Qari'a القارعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qari'a Sikiliza, Al-Qari'a Tafsiri, Al-Qari'a mp3, Al-Qari'a pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema