Al-Masad · 3/5
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Masad
سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ ۝٣
Sa yas laa naran zaata lahab
📖 Kwa Kiswahili
Atauingia Moto wenye mwako.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 1-5 — Al-Masad

1تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
2مَا أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
3سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ
Atauingia Moto wenye mwako.
4وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
5فِي جِيدِهَا حَبْلٌ مِّن مَّسَدٍ
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Al-MasadFaharasa ya Qurani
5Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Al-Masad 3

Sura Al-Masad Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Atauingia Moto wenye mwako.

Sura Aya 3/5 — Al-Masad المسد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Masad Sikiliza, Al-Masad Tafsiri, Al-Masad mp3, Al-Masad pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema