Al-Hijr · 3/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
ذَرْهُمْ يَأْكُلُوا وَيَتَمَتَّعُوا وَيُلْهِهِمُ الْأَمَلُ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ ۝٣
Zarhum yaakuloo wa tatamatta`oo wa yulhihimul amalu fasawfa ya`lamoon
📖 Kwa Kiswahili
Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Al-Hijr

1الر ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ وَقُرْآنٍ مُّبِينٍ
Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha.
2رُّبَمَا يَوَدُّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ كَانُوا مُسْلِمِينَ
HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
3ذَرْهُمْ يَأْكُلُوا وَيَتَمَتَّعُوا وَيُلْهِهِمُ الْأَمَلُ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.
4وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا وَلَهَا كِتَابٌ مَّعْلُومٌ
Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
5مَّا تَسْبِقُ مِنْ أُمَّةٍ أَجَلَهَا وَمَا يَسْتَأْخِرُونَ
Hawawezi watu wowote kuitangulia ajali yao, wala kuchelewa.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Al-Hijr 3

Sura Al-Hijr Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.

Sura Aya 3/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema