Al-Hijr · 4/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا وَلَهَا كِتَابٌ مَّعْلُومٌ ۝٤
Wa maaa ahlaknaa min qaryatin illaa wa lahaa kitaabum ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Hijr

2رُّبَمَا يَوَدُّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ كَانُوا مُسْلِمِينَ
HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
3ذَرْهُمْ يَأْكُلُوا وَيَتَمَتَّعُوا وَيُلْهِهِمُ الْأَمَلُ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.
4وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا وَلَهَا كِتَابٌ مَّعْلُومٌ
Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
5مَّا تَسْبِقُ مِنْ أُمَّةٍ أَجَلَهَا وَمَا يَسْتَأْخِرُونَ
Hawawezi watu wowote kuitangulia ajali yao, wala kuchelewa.
6وَقَالُوا يَا أَيُّهَا الَّذِي نُزِّلَ عَلَيْهِ الذِّكْرُ إِنَّكَ لَمَجْنُونٌ
Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Hijr 4

Sura Al-Hijr Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake…

Sura Aya 4/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema