Al-Hijr · 78/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَإِن كَانَ أَصْحَابُ الْأَيْكَةِ لَظَالِمِينَ ۝٧٨
Wa in kaana Ashaabul Aikati lazaalimeen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 76-80 — Al-Hijr

76وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُّقِيمٍ
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
77إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِّلْمُؤْمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo ishara kwa Waumini.
78وَإِن كَانَ أَصْحَابُ الْأَيْكَةِ لَظَالِمِينَ
Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.
79فَانتَقَمْنَا مِنْهُمْ وَإِنَّهُمَا لَبِإِمَامٍ مُّبِينٍ
Kwa hivyo tukawaadhibu. Na nchi mbili hizi ziko kwenye njia ilio wazi.
80وَلَقَدْ كَذَّبَ أَصْحَابُ الْحِجْرِ الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
78Aya

Tafsiri — Al-Hijr 78

Sura Al-Hijr Aya 78 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.

Sura Aya 78/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 76–80. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema