Al-Mu'minun · 56/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
نُسَارِعُ لَهُمْ فِي الْخَيْرَاتِ ۚ بَل لَّا يَشْعُرُونَ ۝٥٦
Nusaari`u lahum fil khairaat; bal laa yash`uroon
📖 Kwa Kiswahili
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 54-58 — Al-Mu'minun

54فَذَرْهُمْ فِي غَمْرَتِهِمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Basi waache katika ghafla yao kwa muda.
55أَيَحْسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِ مِن مَّالٍ وَبَنِينَ
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
56نُسَارِعُ لَهُمْ فِي الْخَيْرَاتِ ۚ بَل لَّا يَشْعُرُونَ
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
57إِنَّ الَّذِينَ هُم مِّنْ خَشْيَةِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
58وَالَّذِينَ هُم بِآيَاتِ رَبِّهِمْ يُؤْمِنُونَ
Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
56Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 56

Sura Al-Mu'minun Aya 56 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.

Sura Aya 56/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 54–58. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema