Al-Mu'minun · 57/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
إِنَّ الَّذِينَ هُم مِّنْ خَشْيَةِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ ۝٥٧
Innal lazeena hum min khashyati Rabbihim mushfiqoon
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 55-59 — Al-Mu'minun

55أَيَحْسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِ مِن مَّالٍ وَبَنِينَ
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
56نُسَارِعُ لَهُمْ فِي الْخَيْرَاتِ ۚ بَل لَّا يَشْعُرُونَ
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
57إِنَّ الَّذِينَ هُم مِّنْ خَشْيَةِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
58وَالَّذِينَ هُم بِآيَاتِ رَبِّهِمْ يُؤْمِنُونَ
Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
59وَالَّذِينَ هُم بِرَبِّهِمْ لَا يُشْرِكُونَ
Na wale ambao Mola wao Mlezi hawamshirikishi,
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
57Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 57

Sura Al-Mu'minun Aya 57 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,

Sura Aya 57/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 55–59. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema