Al-Mu'minun · 55/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
أَيَحْسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِ مِن مَّالٍ وَبَنِينَ ۝٥٥
A-yahsaboona annnamaa numiduhum bihee mimmaalinw wa baneen
📖 Kwa Kiswahili
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
🎧 Sikiliza

📜 Aya 53-57 — Al-Mu'minun

53فَتَقَطَّعُوا أَمْرَهُم بَيْنَهُمْ زُبُرًا ۖ كُلُّ حِزْبٍ بِمَا لَدَيْهِمْ فَرِحُونَ
Lakini walikatiana jambo lao mapande mbali mbali. Kila kundi likifurahia kwa waliyo nayo.
54فَذَرْهُمْ فِي غَمْرَتِهِمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Basi waache katika ghafla yao kwa muda.
55أَيَحْسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِ مِن مَّالٍ وَبَنِينَ
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
56نُسَارِعُ لَهُمْ فِي الْخَيْرَاتِ ۚ بَل لَّا يَشْعُرُونَ
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
57إِنَّ الَّذِينَ هُم مِّنْ خَشْيَةِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 55

Sura Al-Mu'minun Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na…

Sura Aya 55/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema