Ash-Shu'ara · 101/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ ۝١٠١
Wa laa sadeeqin hameem
📖 Kwa Kiswahili
Wala rafiki wa dhati.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 99-103 — Ash-Shu'ara

99وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
100فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
101وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.
102فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
103إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
101Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 101

Sura Ash-Shu'ara Aya 101 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala rafiki wa dhati.

Sura Aya 101/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 99–103. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema