Ash-Shu'ara · 102/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ۝١٠٢
Falaw anna lanaa karratan fanakoona minal mu`mineen
📖 Kwa Kiswahili
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 100-104 — Ash-Shu'ara

100فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
101وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.
102فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
103إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
104وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
102Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 102

Sura Ash-Shu'ara Aya 102 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.

Sura Aya 102/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 100–104. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema