Ash-Shu'ara · 213/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ ۝٢١٣
Falaa tad`u ma`al laahi ilaahan aakhara fatakoona minal mu`azzabeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 211-215 — Ash-Shu'ara

211وَمَا يَنبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
212إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
213فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
214وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
215وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
213Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 213

Sura Ash-Shu'ara Aya 213 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni…

Sura Aya 213/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 211–215. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema