Ash-Shu'ara · 212/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ ۝٢١٢
Innahum `anis sam`i lama`zooloon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hao wametengwa na kusikia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 210-214 — Ash-Shu'ara

210وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
211وَمَا يَنبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
212إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
213فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
214وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
212Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 212

Sura Ash-Shu'ara Aya 212 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hao wametengwa na kusikia.

Sura Aya 212/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 210–214. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema