Ash-Shu'ara · 224/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ ۝٢٢٤
Washshu `araaa`u yattabi `uhumul ghaawoon
📖 Kwa Kiswahili
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 222-226 — Ash-Shu'ara

222تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
223يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
224وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
225أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
226وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
224Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 224

Sura Ash-Shu'ara Aya 224 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.

Sura Aya 224/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 222–226. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema