As-Saffat · 143/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ ۝١٤٣
Falaw laaa annahoo kaana minal musabbiheen
📖 Kwa Kiswahili
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 141-145 — As-Saffat

141فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
142فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
143فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
144لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
145۞ فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
143Aya

Tafsiri — As-Saffat 143

Sura As-Saffat Aya 143 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,

Sura Aya 143/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 141–145. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema