As-Saffat · 142/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ ۝١٤٢
Faltaqamahul hootu wa huwa muleem
📖 Kwa Kiswahili
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 140-144 — As-Saffat

140إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.
141فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
142فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
143فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
144لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
142Aya

Tafsiri — As-Saffat 142

Sura As-Saffat Aya 142 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

Sura Aya 142/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 140–144. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema