As-Saffat · 55/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَاطَّلَعَ فَرَآهُ فِي سَوَاءِ الْجَحِيمِ ۝٥٥
Fattala`a fara aahu fee sawaaa`il Jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 53-57 — As-Saffat

53أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?
54قَالَ هَلْ أَنتُم مُّطَّلِعُونَ
Atasema: Je! Nyie mnawaona?
55فَاطَّلَعَ فَرَآهُ فِي سَوَاءِ الْجَحِيمِ
Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
56قَالَ تَاللَّهِ إِن كِدتَّ لَتُرْدِينِ
Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.
57وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّي لَكُنتُ مِنَ الْمُحْضَرِينَ
Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — As-Saffat 55

Sura As-Saffat Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.

Sura Aya 55/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema