As-Saffat · 59/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِلَّا مَوْتَتَنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ ۝٥٩
Illa mawtatanal oola wa maa nahnu bimu`azzabeen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 57-61 — As-Saffat

57وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّي لَكُنتُ مِنَ الْمُحْضَرِينَ
Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.
58أَفَمَا نَحْنُ بِمَيِّتِينَ
Je! Sisi hatutakufa,
59إِلَّا مَوْتَتَنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
60إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
61لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
59Aya

Tafsiri — As-Saffat 59

Sura As-Saffat Aya 59 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.

Sura Aya 59/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 57–61. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema