As-Saffat · 97/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ ۝٩٧
Qaalub noo lahoo bun yaanan fa alqoohu fil jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 95-99 — As-Saffat

95قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
96وَاللَّهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ
Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
97قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
98فَأَرَادُوا بِهِ كَيْدًا فَجَعَلْنَاهُمُ الْأَسْفَلِينَ
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
99وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّي سَيَهْدِينِ
Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
97Aya

Tafsiri — As-Saffat 97

Sura As-Saffat Aya 97 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!

Sura Aya 97/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 95–99. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema