As-Saffat · 96/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَاللَّهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ ۝٩٦
Wallaahu khalaqakum wa maa ta`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 94-98 — As-Saffat

94فَأَقْبَلُوا إِلَيْهِ يَزِفُّونَ
Basi wakamjia upesi upesi.
95قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
96وَاللَّهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ
Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
97قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
98فَأَرَادُوا بِهِ كَيْدًا فَجَعَلْنَاهُمُ الْأَسْفَلِينَ
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
96Aya

Tafsiri — As-Saffat 96

Sura As-Saffat Aya 96 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo…

Sura Aya 96/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 94–98. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema