Sad · 38/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
وَآخَرِينَ مُقَرَّنِينَ فِي الْأَصْفَادِ ۝٣٨
Wa aakhareena muqarraneena fil asfaad
📖 Kwa Kiswahili
Na wengine wafungwao kwa minyororo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 36-40 — Sad

36فَسَخَّرْنَا لَهُ الرِّيحَ تَجْرِي بِأَمْرِهِ رُخَاءً حَيْثُ أَصَابَ
Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.
37وَالشَّيَاطِينَ كُلَّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاصٍ
Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.
38وَآخَرِينَ مُقَرَّنِينَ فِي الْأَصْفَادِ
Na wengine wafungwao kwa minyororo.
39هَٰذَا عَطَاؤُنَا فَامْنُنْ أَوْ أَمْسِكْ بِغَيْرِ حِسَابٍ
Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu.
40وَإِنَّ لَهُ عِندَنَا لَزُلْفَىٰ وَحُسْنَ مَآبٍ
Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa kwetu, na pahala pazuri pa kurejea.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — Sad 38

Sura Sad Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wengine wafungwao kwa minyororo.

Sura Aya 38/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema