Sad · 39/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
هَٰذَا عَطَاؤُنَا فَامْنُنْ أَوْ أَمْسِكْ بِغَيْرِ حِسَابٍ ۝٣٩
Haazaa `ataaa`unaa famnun aw amsik bighairi hisaab
📖 Kwa Kiswahili
Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — Sad

37وَالشَّيَاطِينَ كُلَّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاصٍ
Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.
38وَآخَرِينَ مُقَرَّنِينَ فِي الْأَصْفَادِ
Na wengine wafungwao kwa minyororo.
39هَٰذَا عَطَاؤُنَا فَامْنُنْ أَوْ أَمْسِكْ بِغَيْرِ حِسَابٍ
Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu.
40وَإِنَّ لَهُ عِندَنَا لَزُلْفَىٰ وَحُسْنَ مَآبٍ
Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa kwetu, na pahala pazuri pa kurejea.
41وَاذْكُرْ عَبْدَنَا أَيُّوبَ إِذْ نَادَىٰ رَبَّهُ أَنِّي مَسَّنِيَ الشَّيْطَانُ بِنُصْبٍ وَعَذَابٍ
Na mkumbuke mja wetu Ayubu alipo mwita Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika Shet'ani amenifikishia udhia na adhabu.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — Sad 39

Sura Sad Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya…

Sura Aya 39/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema