Ad-Dukhan · 55/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَاكِهَةٍ آمِنِينَ ۝٥٥
Yad`oona feehaa bikulli faakihatin aamineen
📖 Kwa Kiswahili
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 53-57 — Ad-Dukhan

53يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَقَابِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
54كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
55يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَاكِهَةٍ آمِنِينَ
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
56لَا يَذُوقُونَ فِيهَا الْمَوْتَ إِلَّا الْمَوْتَةَ الْأُولَىٰ ۖ وَوَقَاهُمْ عَذَابَ الْجَحِيمِ
Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya Jahannamu,
57فَضْلًا مِّن رَّبِّكَ ۚ ذَٰلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 55

Sura Ad-Dukhan Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.

Sura Aya 55/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema