Qaf · 23/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Qaf
وَقَالَ قَرِينُهُ هَٰذَا مَا لَدَيَّ عَتِيدٌ ۝٢٣
Wa qaala qareenuhoo haazaa maa ladaiya `ateed
📖 Kwa Kiswahili
Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — Qaf

21وَجَاءَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَّعَهَا سَائِقٌ وَشَهِيدٌ
Na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji na shahidi.
22لَّقَدْ كُنتَ فِي غَفْلَةٍ مِّنْ هَٰذَا فَكَشَفْنَا عَنكَ غِطَاءَكَ فَبَصَرُكَ الْيَوْمَ حَدِيدٌ
(Aambiwe): Kwa hakika ulikuwa umeghafilika na haya; basi leo tumekuondolea pazia lako, na kwa hivyo kuona kwako leo ni kukali.
23وَقَالَ قَرِينُهُ هَٰذَا مَا لَدَيَّ عَتِيدٌ
Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.
24أَلْقِيَا فِي جَهَنَّمَ كُلَّ كَفَّارٍ عَنِيدٍ
Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,
25مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ مُّرِيبٍ
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
QafFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Qaf 23

Sura Qaf Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.

Sura Aya 23/45 — Qaf ق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Qaf Sikiliza, Qaf Tafsiri, Qaf mp3, Qaf pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema