Adh-Dhariyat · 9/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ ۝٩
Yu`faku `anhu man ufik
📖 Kwa Kiswahili
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 7-11 — Adh-Dhariyat

7وَالسَّمَاءِ ذَاتِ الْحُبُكِ
Naapa kwa mbingu zenye njia,
8إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُّخْتَلِفٍ
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
9يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
10قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
11الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 9

Sura Adh-Dhariyat Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.

Sura Aya 9/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema