Adh-Dhariyat · 10/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ ۝١٠
Qutilal kharraasoon
📖 Kwa Kiswahili
Wazushi wameangamizwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — Adh-Dhariyat

8إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُّخْتَلِفٍ
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
9يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
10قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
11الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.
12يَسْأَلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ الدِّينِ
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 10

Sura Adh-Dhariyat Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wazushi wameangamizwa.

Sura Aya 10/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema