At-Tur · 12/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ ۝١٢
Allazeena hum fee khawdiny yal`aboon
📖 Kwa Kiswahili
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — At-Tur

10وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
11فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
12الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
13يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
14هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — At-Tur 12

Sura At-Tur Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.

Sura Aya 12/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema