At-Tur · 13/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا ۝١٣
Yawma yuda`-`oona ilaa naari jahannama da`-`aa
📖 Kwa Kiswahili
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — At-Tur

11فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
12الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
13يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
14هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
15أَفَسِحْرٌ هَٰذَا أَمْ أَنتُمْ لَا تُبْصِرُونَ
Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — At-Tur 13

Sura At-Tur Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,

Sura Aya 13/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema