At-Tur · 11/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ۝١١
Fawailuny yawma `izil lil mukaazzibeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — At-Tur

9يَوْمَ تَمُورُ السَّمَاءُ مَوْرًا
Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
10وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
11فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
12الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
13يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — At-Tur 11

Sura At-Tur Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,

Sura Aya 11/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema