At-Tur · 14/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ ۝١٤
Haazihin naarul latee kuntum bihaa tukazziboon
📖 Kwa Kiswahili
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — At-Tur

12الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
13يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
14هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
15أَفَسِحْرٌ هَٰذَا أَمْ أَنتُمْ لَا تُبْصِرُونَ
Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
16اصْلَوْهَا فَاصْبِرُوا أَوْ لَا تَصْبِرُوا سَوَاءٌ عَلَيْكُمْ ۖ إِنَّمَا تُجْزَوْنَ مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Uingieni, mkistahamili au msistahamili - ni mamoja kwenu. Hakika mnalipwa kwa mliyo kuwa mkiyatenda.
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — At-Tur 14

Sura At-Tur Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : (Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!

Sura Aya 14/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema