At-Tur · 39/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
أَمْ لَهُ الْبَنَاتُ وَلَكُمُ الْبَنُونَ ۝٣٩
Am lahul banaatu wa lakumul banoon
📖 Kwa Kiswahili
Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — At-Tur

37أَمْ عِندَهُمْ خَزَائِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ الْمُصَيْطِرُونَ
Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
38أَمْ لَهُمْ سُلَّمٌ يَسْتَمِعُونَ فِيهِ ۖ فَلْيَأْتِ مُسْتَمِعُهُم بِسُلْطَانٍ مُّبِينٍ
Au wanazo ngazi za kusikilizia? Basi huyo msikilizaji wao na alete hoja ilio wazi!
39أَمْ لَهُ الْبَنَاتُ وَلَكُمُ الْبَنُونَ
Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?
40أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرًا فَهُم مِّن مَّغْرَمٍ مُّثْقَلُونَ
Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?
41أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ
Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — At-Tur 39

Sura At-Tur Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna…

Sura Aya 39/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema