Al-Waqi'a · 46/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ ۝٤٦
Wa kaanoo yusirroona `alal hinsil `azeem
📖 Kwa Kiswahili
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 44-48 — Al-Waqi'a

44لَّا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
45إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
46وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
47وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
48أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 46

Sura Al-Waqi'a Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,

Sura Aya 46/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 44–48. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema