Al-Waqi'a · 47/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ ۝٤٧
Wa kaanoo yaqooloona a`izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa izaaman`ainnaa lamab`oosoon
📖 Kwa Kiswahili
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 45-49 — Al-Waqi'a

45إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
46وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
47وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
48أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?
49قُلْ إِنَّ الْأَوَّلِينَ وَالْآخِرِينَ
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
47Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 47

Sura Al-Waqi'a Aya 47 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa,…

Sura Aya 47/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 45–49. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema