Al-Waqi'a · 45/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ ۝٤٥
Innaahum kaanoo qabla zaalika mutrafeen
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 43-47 — Al-Waqi'a

43وَظِلٍّ مِّن يَحْمُومٍ
Na kivuli cha moshi mweusi,
44لَّا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
45إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
46وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
47وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 45

Sura Al-Waqi'a Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.

Sura Aya 45/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema