Al-Waqi'a · 45/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ ٤٥
Transliteration
Innaahum kaanoo qabla zaalika mutrafeen
Tafsiri (Kwa Kiswahili)
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
Additional reference in Soomaali
🎧 Sikiliza
📜 Aya 43-47 — Al-Waqi'a
43وَظِلٍّ مِّن يَحْمُومٍ
Na kivuli cha moshi mweusi,
44لَّا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
45إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
46وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
47وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
45Aya
Tafsiri — Al-Waqi'a 45
Sura Al-Waqi'a Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.Sura Aya 45/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.
العربية
English
Bahasa Indonesia
Türkçe
Русский
فارسی
Français
اردو
বাংলা
Deutsch
Español
中文
हिन्दी
Português
Italiano
ภาษาไทย
Polski
Nederlands
Shqip
Kiswahili
O'zbek
தமிழ்
Melayu
Bosanski
Soomaali
Azərbaycan
کوردی
한국어
日本語
Svenska
Dansk
Norsk
پښتو
മലയാളം
සිංහල
Tamazight
Hausa
አማርኛ
Български
Тоҷикӣ
Қазақша
Filipino
سنڌي
Yorùbá
Fulfulde
Татарча
ئۇيغۇرچە
Кыргызча
ਪੰਜਾਬੀ
Jawa
తెలుగు
မြန်မာ
ગુજરાતી
Oromo
मराठी
Tiếng Việt
Malagasy
Нохчийн
Wolof
ދިވެހި
ಕನ್ನಡ
Українська
Ελληνικά
ქართული
ខ្មែរ
دری
Qafar af
Maranao
नेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema








