Al-Waqi'a · 48/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ ۝٤٨
Awa aabaaa`unal awwaloon
📖 Kwa Kiswahili
Au baba zetu wa zamani?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 46-50 — Al-Waqi'a

46وَكَانُوا يُصِرُّونَ عَلَى الْحِنثِ الْعَظِيمِ
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
47وَكَانُوا يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
48أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?
49قُلْ إِنَّ الْأَوَّلِينَ وَالْآخِرِينَ
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
50لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 48

Sura Al-Waqi'a Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au baba zetu wa zamani?

Sura Aya 48/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema