Al-Qalam · 21/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ ۝٢١
Fatanaadaw musbiheen
📖 Kwa Kiswahili
Asubuhi wakaitana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 19-23 — Al-Qalam

19فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
20فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ
Likawa kama usiku wa giza.
21فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ
Asubuhi wakaitana.
22أَنِ اغْدُوا عَلَىٰ حَرْثِكُمْ إِن كُنتُمْ صَارِمِينَ
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
23فَانطَلَقُوا وَهُمْ يَتَخَافَتُونَ
Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Al-Qalam 21

Sura Al-Qalam Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Asubuhi wakaitana.

Sura Aya 21/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema