Al-Mursalat · 25/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ كِفَاتًا ۝٢٥
Alam naj`alil arda kifaataa
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Mursalat

23فَقَدَرْنَا فَنِعْمَ الْقَادِرُونَ
Tukakadiria na Sisi ni wabora wa kukadiria.
24وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
25أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ كِفَاتًا
Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya
26أَحْيَاءً وَأَمْوَاتًا
Walio hai na maiti?
27وَجَعَلْنَا فِيهَا رَوَاسِيَ شَامِخَاتٍ وَأَسْقَيْنَاكُم مَّاءً فُرَاتًا
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji matamu?
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 25

Sura Al-Mursalat Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya

Sura Aya 25/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema