An-Nazi'at · 10/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
يَقُولُونَ أَإِنَّا لَمَرْدُودُونَ فِي الْحَافِرَةِ ۝١٠
Ya qoo loona a-inna lamar doo doona fil haafirah
📖 Kwa Kiswahili
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — An-Nazi'at

8قُلُوبٌ يَوْمَئِذٍ وَاجِفَةٌ
Siku hiyo nyoyo zitapiga piga,
9أَبْصَارُهَا خَاشِعَةٌ
Macho yatainama chini.
10يَقُولُونَ أَإِنَّا لَمَرْدُودُونَ فِي الْحَافِرَةِ
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
11أَإِذَا كُنَّا عِظَامًا نَّخِرَةً
Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
12قَالُوا تِلْكَ إِذًا كَرَّةٌ خَاسِرَةٌ
Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 10

Sura An-Nazi'at Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?

Sura Aya 10/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema