Abasa · 3/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَمَا يُدْرِيكَ لَعَلَّهُ يَزَّكَّىٰ ۝٣
Wa maa yudreeka la`allahu yaz zakkaa
📖 Kwa Kiswahili
Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Abasa

1عَبَسَ وَتَوَلَّىٰ
Alikunja kipaji na akageuka,
2أَن جَاءَهُ الْأَعْمَىٰ
Kwa sababu alimjia kipofu!
3وَمَا يُدْرِيكَ لَعَلَّهُ يَزَّكَّىٰ
Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
4أَوْ يَذَّكَّرُ فَتَنفَعَهُ الذِّكْرَىٰ
Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
5أَمَّا مَنِ اسْتَغْنَىٰ
Ama ajionaye hana haja,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Abasa 3

Sura Abasa Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?

Sura Aya 3/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema