Al-Inshiqaq · 7/25
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Inshiqaq
فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ ۝٧
Fa ammaa man ootiya kitaabahoo biyameenih
📖 Kwa Kiswahili
Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 5-9 — Al-Inshiqaq

5وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
6يَا أَيُّهَا الْإِنسَانُ إِنَّكَ كَادِحٌ إِلَىٰ رَبِّكَ كَدْحًا فَمُلَاقِيهِ
Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.
7فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ
Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
8فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًا يَسِيرًا
Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi,
9وَيَنقَلِبُ إِلَىٰ أَهْلِهِ مَسْرُورًا
Na arudi kwa ahali zake na furaha.
Al-InshiqaqFaharasa ya Qurani
25Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Al-Inshiqaq 7

Sura Al-Inshiqaq Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,

Sura Aya 7/25 — Al-Inshiqaq الإنشقاق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Inshiqaq Sikiliza, Al-Inshiqaq Tafsiri, Al-Inshiqaq mp3, Al-Inshiqaq pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema