Al-Hijr · 81/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَآتَيْنَاهُمْ آيَاتِنَا فَكَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ ۝٨١
Wa aatainaahum Aayaatinaa fakaanoo `anhaa mu`rideen
📖 Kwa Kiswahili
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 79-83 — Al-Hijr

79فَانتَقَمْنَا مِنْهُمْ وَإِنَّهُمَا لَبِإِمَامٍ مُّبِينٍ
Kwa hivyo tukawaadhibu. Na nchi mbili hizi ziko kwenye njia ilio wazi.
80وَلَقَدْ كَذَّبَ أَصْحَابُ الْحِجْرِ الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
81وَآتَيْنَاهُمْ آيَاتِنَا فَكَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
82وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
83فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُصْبِحِينَ
Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
81Aya

Tafsiri — Al-Hijr 81

Sura Al-Hijr Aya 81 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.

Sura Aya 81/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 79–83. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema