Al-Hijr · 82/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ ۝٨٢
Wa kaanoo yanhitoona minal jibaali buyootan aamineen
📖 Kwa Kiswahili
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 80-84 — Al-Hijr

80وَلَقَدْ كَذَّبَ أَصْحَابُ الْحِجْرِ الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
81وَآتَيْنَاهُمْ آيَاتِنَا فَكَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
82وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
83فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُصْبِحِينَ
Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
84فَمَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
82Aya

Tafsiri — Al-Hijr 82

Sura Al-Hijr Aya 82 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.

Sura Aya 82/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 80–84. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema