Al-Hijr · 80/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَلَقَدْ كَذَّبَ أَصْحَابُ الْحِجْرِ الْمُرْسَلِينَ ۝٨٠
Wa laqad kazzaba ashaabul Hijril mursaleen
📖 Kwa Kiswahili
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 78-82 — Al-Hijr

78وَإِن كَانَ أَصْحَابُ الْأَيْكَةِ لَظَالِمِينَ
Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.
79فَانتَقَمْنَا مِنْهُمْ وَإِنَّهُمَا لَبِإِمَامٍ مُّبِينٍ
Kwa hivyo tukawaadhibu. Na nchi mbili hizi ziko kwenye njia ilio wazi.
80وَلَقَدْ كَذَّبَ أَصْحَابُ الْحِجْرِ الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
81وَآتَيْنَاهُمْ آيَاتِنَا فَكَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
82وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
80Aya

Tafsiri — Al-Hijr 80

Sura Al-Hijr Aya 80 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.

Sura Aya 80/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 78–82. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema