Maryam · 81/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
وَاتَّخَذُوا مِن دُونِ اللَّهِ آلِهَةً لِّيَكُونُوا لَهُمْ عِزًّا ۝٨١
Wattakhazoo min doonil laahi aalihatal liyakoonoo lahum `izzaa
📖 Kwa Kiswahili
Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 79-83 — Maryam

79كَلَّا ۚ سَنَكْتُبُ مَا يَقُولُ وَنَمُدُّ لَهُ مِنَ الْعَذَابِ مَدًّا
Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
80وَنَرِثُهُ مَا يَقُولُ وَيَأْتِينَا فَرْدًا
Na tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia mtupu peke yake!
81وَاتَّخَذُوا مِن دُونِ اللَّهِ آلِهَةً لِّيَكُونُوا لَهُمْ عِزًّا
Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
82كَلَّا ۚ سَيَكْفُرُونَ بِعِبَادَتِهِمْ وَيَكُونُونَ عَلَيْهِمْ ضِدًّا
Sivyo kabisa! Wataikataa hiyo ibada yao, na watakuwa ndio dhidi yao.
83أَلَمْ تَرَ أَنَّا أَرْسَلْنَا الشَّيَاطِينَ عَلَى الْكَافِرِينَ تَؤُزُّهُمْ أَزًّا
Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
81Aya

Tafsiri — Maryam 81

Sura Maryam Aya 81 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati…

Sura Aya 81/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 79–83. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema