Al-Mu'minun · 6/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ ۝٦
Illaa `alaaa azwaajihim aw maa malakat aimaanuhum fa innahum ghairu maloomeen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Al-Mu'minun

4وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ
Na ambao wanatoa Zaka,
5وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanazilinda tupu zao,
6إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 6

Sura Al-Mu'minun Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono…

Sura Aya 6/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema