Al-Mu'minun · 59/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَالَّذِينَ هُم بِرَبِّهِمْ لَا يُشْرِكُونَ ۝٥٩
Wallazeena hum bi Rabbihim laa yushrikoon
📖 Kwa Kiswahili
Na wale ambao Mola wao Mlezi hawamshirikishi,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 57-61 — Al-Mu'minun

57إِنَّ الَّذِينَ هُم مِّنْ خَشْيَةِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
58وَالَّذِينَ هُم بِآيَاتِ رَبِّهِمْ يُؤْمِنُونَ
Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
59وَالَّذِينَ هُم بِرَبِّهِمْ لَا يُشْرِكُونَ
Na wale ambao Mola wao Mlezi hawamshirikishi,
60وَالَّذِينَ يُؤْتُونَ مَا آتَوا وَّقُلُوبُهُمْ وَجِلَةٌ أَنَّهُمْ إِلَىٰ رَبِّهِمْ رَاجِعُونَ
Na wale ambao wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea kwa Mola wao Mlezi,
61أُولَٰئِكَ يُسَارِعُونَ فِي الْخَيْرَاتِ وَهُمْ لَهَا سَابِقُونَ
Basi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
59Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 59

Sura Al-Mu'minun Aya 59 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wale ambao Mola wao Mlezi hawamshirikishi,

Sura Aya 59/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 57–61. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema