Al-Mu'minun · 82/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
قَالُوا أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ ۝٨٢
Qaalooo `a-izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa `izaaman `a-innaa lamab `oosoon
📖 Kwa Kiswahili
Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 80-84 — Al-Mu'minun

80وَهُوَ الَّذِي يُحْيِي وَيُمِيتُ وَلَهُ اخْتِلَافُ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ ۚ أَفَلَا تَعْقِلُونَ
Na Yeye ndiye anaye huisha na kufisha, na yake Yeye mabadiliko ya usiku na mchana. Basi je! Hamfahamu?
81بَلْ قَالُوا مِثْلَ مَا قَالَ الْأَوَّلُونَ
Bali wanasema kama walivyo sema watu wa kwanza.
82قَالُوا أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?
83لَقَدْ وُعِدْنَا نَحْنُ وَآبَاؤُنَا هَٰذَا مِن قَبْلُ إِنْ هَٰذَا إِلَّا أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Tuliahidiwa haya sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni visa vya uwongo vya watu wa zamani.
84قُل لِّمَنِ الْأَرْضُ وَمَن فِيهَا إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ
Sema: Ni ya nani ardhi na viliomo ndani yake, kama nyinyi mnajua?
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
82Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 82

Sura Al-Mu'minun Aya 82 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?

Sura Aya 82/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 80–84. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema