Ash-Shu'ara · 206/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
ثُمَّ جَاءَهُم مَّا كَانُوا يُوعَدُونَ ۝٢٠٦
Summa jaaa`ahum maa kaanoo yoo`adoon
📖 Kwa Kiswahili
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 204-208 — Ash-Shu'ara

204أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
205أَفَرَأَيْتَ إِن مَّتَّعْنَاهُمْ سِنِينَ
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
206ثُمَّ جَاءَهُم مَّا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
207مَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
208وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
206Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 206

Sura Ash-Shu'ara Aya 206 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,

Sura Aya 206/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 204–208. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema