Ash-Shu'ara · 32/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَأَلْقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعْبَانٌ مُّبِينٌ ۝٣٢
Fa alqaa `asaahu fa izaaa hiya su`baanum mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 30-34 — Ash-Shu'ara

30قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَيْءٍ مُّبِينٍ
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
31قَالَ فَأْتِ بِهِ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
32فَأَلْقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعْبَانٌ مُّبِينٌ
Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
33وَنَزَعَ يَدَهُ فَإِذَا هِيَ بَيْضَاءُ لِلنَّاظِرِينَ
Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
34قَالَ لِلْمَلَإِ حَوْلَهُ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
32Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 32

Sura Ash-Shu'ara Aya 32 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.

Sura Aya 32/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 30–34. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema