Ash-Shu'ara · 45/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ ۝٤٥
Fa alqaa Moosaa `asaahu fa izaa hiya talqafu maa yaafikoon
📖 Kwa Kiswahili
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 43-47 — Ash-Shu'ara

43قَالَ لَهُم مُّوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنتُم مُّلْقُونَ
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
44فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
45فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
46فَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ
Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.
47قَالُوا آمَنَّا بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 45

Sura Ash-Shu'ara Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.

Sura Aya 45/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema